Abdulbasit Abdusamad

Abdullah Khayyat

Mahmoud khali Al-Husary

Abdurahman Sudeys

Soud Al-Shureym

Abubakar Shatry

       Ali Al-Hudhefy
      Ali Jaber

 

Mlango wa Quraan

             

Bismillahi Rahmani Rahiim.

Baada ya Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Kumtakia Rehma Bwana Mtume Muhammad S.A.W. Mlango huu wa Quraan ni katika milango muhimu, Kwani kukifahamu kitabu cha Allah ni jambo la mwanzo analopaswa kila Muislamu kujielimisha. Si hoja kusikiliza sauti nzuri tukafurahika nazo, bali kuzingatia yanayosomwa na kisha kuyatekeleza. Na alhamdulilah Mwenyezi Mungu kawapa baadhi ya waja wake sauti nzuri wakazitumia katika kukisoma kitabu cha Allah Subhanahu Wataala. Na hii ni neema huwenda vile vile ikaleta athari nzuri katika masikio ya wasikizaji. Na Quraan inaposomwa anatakiwa mwenye kusikiliza atulie na awe makini masikio yake ili apate kuzingatia yake yanayosomwa.

Tunakuomba Allah utujaalie katika wale waja wanayoyasikia mema kisha wakayafuata. Amin

 

Copyright © 2004-2005  www.uislam.net