View Single Post
  #1 (permalink)  
Old 01-02-10,
Abuu A'amir Abuu A'amir is offline
New Member
 
Join Date: 15-05-08
Posts: 25
Default Maji kutoka katika ardhi ya kunyanganya

Assalamu alaykum warahmatullah wabarakaatuh.

Nini hukumu ya utumiaji wa maji yaliyosambazwa katika jamii yakiwamo majengo ya misikiti; lakini kisima kinachotowa maji hayo kimechimbwa katika shamba la walio kuwa watoto yatima ambao walinyanganywa kwa nguvu za dola na kupewa mtu mwengine?
Reply With Quote