Abu-Muslim
04-08-08,
Asalaam alaikum,
Sheikh nimewahi kusikia na kuona kwenye baadhi ya vitabu na internet kuwa kuna utabiri wa ndoto,yaani mtu akiota huenda kwa mtu fulani au kwenye kitabu au internet kuiangalia maana ya ndoto yake.
Suala jee inafaa kufanya hivi?
Na ni kweli utabiri huu au la?
Kama inafaa na ni kweli,basi ni nani mwenye elimu ya kutabiri ndoto,ni mtu yeyote au mtu mwenye elimu gani?
Wabillahi at tawfiq.
Akhuukum,
Abu-Muslim
Sheikh nimewahi kusikia na kuona kwenye baadhi ya vitabu na internet kuwa kuna utabiri wa ndoto,yaani mtu akiota huenda kwa mtu fulani au kwenye kitabu au internet kuiangalia maana ya ndoto yake.
Suala jee inafaa kufanya hivi?
Na ni kweli utabiri huu au la?
Kama inafaa na ni kweli,basi ni nani mwenye elimu ya kutabiri ndoto,ni mtu yeyote au mtu mwenye elimu gani?
Wabillahi at tawfiq.
Akhuukum,
Abu-Muslim