ukumbi  

Go Back   ukumbi > ukumbi Main Category > DINI na SHERIA

Reply

 

LinkBack Thread Tools
  #1 (permalink)  
Old 23-01-06,
uislamu.net webmaster
 
Join Date: 17-07-04
Location: muscat
Posts: 821
Default inakhusu uislamu.net

Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Ndugu zangu wasomaji wa ukumbi huu, kwanza tunatoa shukurani za thati kwa juhudi zenu tofauti.
Alhamdulilahi daraja tuliyofika ni ya kuridhisha, khasa katika masuala muhimu yanayoulizwa humu. na makala mengineyo

Ama mwaka huu tutapenda kujua rai za wasomaji juu ya ukumbi huu, tusaidiane fikra, nini la kuengezwa, au sehemu gani inahitajika kuwekwa sawa, maana tukipata mashauriano itakuwa ni vyema kuupeleka mbele ukumbi huu. Kwa hivyo kila mwenye rai anakaribishwa kuandika rai yake hapa, nini la kufanya katika mwaka huu.
Tunataraji kuona rai na ushauri wenu inshaallah.
shukran.
uislamu.net webmaster
__________________

uislamu.net webmaster
uislamu@hotmail.com
Reply With Quote
  #2 (permalink)  
Old 23-01-06,
Junion Member
 
Join Date: 10-02-05
Posts: 117
Send a message via MSN to mk1185
Default

Quote:
Originally Posted by Uislam
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Ndugu zangu wasomaji wa ukumbi huu, kwanza tunatoa shukurani za thati kwa juhudi zenu tofauti.
Alhamdulilahi daraja tuliyofika ni ya kuridhisha, khasa katika masuala muhimu yanayoulizwa humu. na makala mengineyo

Ama mwaka huu tutapenda kujua rai za wasomaji juu ya ukumbi huu, tusaidiane fikra, nini la kuengezwa, au sehemu gani inahitajika kuwekwa sawa, maana tukipata mashauriano itakuwa ni vyema kuupeleka mbele ukumbi huu. Kwa hivyo kila mwenye rai anakaribishwa kuandika rai yake hapa, nini la kufanya katika mwaka huu.
Tunataraji kuona rai na ushauri wenu inshaallah.
shukran.
uislamu.net webmaster
waalaykum salaam
mimi kwanza ningeliomba uwekwe ukimbi wa maoni kama itawezekana
shukran
__________________
km1185@hotmail.co.uk
Reply With Quote
  #3 (permalink)  
Old 23-01-06,
uislamu.net webmaster
 
Join Date: 17-07-04
Location: muscat
Posts: 821
Default

Assalam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Asante sana ndugu yangu mk1185 kwa juhudi zako na kuitikia kwako wito
kwa haraka, hii ikionesha hima yako.
Ama ukumbi wa maoni ni vyema kutupa fikra zaidi nini yatakuwa madhumuni yake, na makala gani yataandikwa na jee faida gani tutaweza kunufaika, kwani ni bora tuyadurusu mambo haya, na kutarajia wengine kuunga mkono jambo hili, na tukikubaliana basi ni kazi ya dakika tano tu
inshallah.
shukran.
uislamu.net webmaster
__________________

uislamu.net webmaster
uislamu@hotmail.com
Reply With Quote
  #4 (permalink)  
Old 24-01-06,
Junion Member
 
Join Date: 10-02-05
Posts: 117
Send a message via MSN to mk1185
Default

Quote:
Originally Posted by Uislam
Assalam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Asante sana ndugu yangu mk1185 kwa juhudi zako na kuitikia kwako wito
kwa haraka, hii ikionesha hima yako.
Ama ukumbi wa maoni ni vyema kutupa fikra zaidi nini yatakuwa madhumuni yake, na makala gani yataandikwa na jee faida gani tutaweza kunufaika, kwani ni bora tuyadurusu mambo haya, na kutarajia wengine kuunga mkono jambo hili, na tukikubaliana basi ni kazi ya dakika tano tu
inshallah.
shukran.
uislamu.net webmaster
waalaykumsalaam warahmatullahi wabarakaatuh

Maoni yangu juu ya umuhimu wa kuwepo UKUMBI WA MAONI

Huo ukimbi wa maoni utakuwa unatumika kama unavyotumika ukumbi wa dini na sharia kwenye mas-ala ya maoni,ushauri na matangazo yanayohusu website au wanakumbi hizi. kwa hiyo tukiuweka ukumbi wa maoni, ukumbi wa dini na sharia utabaki purely dini na sharia.

Maoni hayo yatakuwa mara nyingi yanahusu maendeleo ya website au matatizo yake, au hata masuala kuhusu website hii kama vile mfano mtu hawezi kuingia kwenye link fulani, na huenda akauliza mbona sipati kuingia kwenye link fulani? akapata jawabu na sababu juu ya link hiyo iliyokuwemo katika website hii na huwenda ikasaidia vilevile baadhi ya wakati, kwani mawebmaster wanakuwa hawajui kama kuna tatizo fulani sehemu fulani katika website zao, kwa hiyo hii itakuwa ni kama tanbih inshaallah.

inaweza kutumika kwa namna mbali mbali za faida.

shukran
__________________
km1185@hotmail.co.uk
Reply With Quote
  #5 (permalink)  
Old 24-01-06,
uislamu.net webmaster
 
Join Date: 17-07-04
Location: muscat
Posts: 821
Default

Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Asante sana ndugu yangu, fikra nzuri, basi tuwasubiri na
wenzetu wengine waliunge mkono jambo hili.

tunawasubiri wanaukumbi wengine.....



shukran
uislamu.net
__________________

uislamu.net webmaster
uislamu@hotmail.com
Reply With Quote
  #6 (permalink)  
Old 25-01-06,
uislamu.net webmaster
 
Join Date: 17-07-04
Location: muscat
Posts: 821
Default

Assalam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Ndugu yangu mk1185 inaonesha mimi na wewe tu, ndio tunataka ukumbi wa maoni, maana bado hata mmoja hajatupa ushauri wake...

shukran
uislamu.net
__________________

uislamu.net webmaster
uislamu@hotmail.com
Reply With Quote
  #7 (permalink)  
Old 25-01-06,
Junion Member
 
Join Date: 10-02-05
Posts: 117
Send a message via MSN to mk1185
Default

Quote:
Originally Posted by Uislam
Assalam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Ndugu yangu mk1185 inaonesha mimi na wewe tu, ndio tunataka ukumbi wa maoni, maana bado hata mmoja hajatupa ushauri wake...

shukran
uislamu.net
w/salaam

JAMANI USHAURI ULITOKA KUHUSU KUWEPO KWA UKUMBI WA MAONI.

JE UKUWEPO AU USIKUWEPO.

TUANDIKIE JAPO NENO MOJA:

-UWEPO

-USIWEPO


SHUKRAN

W/SALAAM
__________________
km1185@hotmail.co.uk
Reply With Quote
  #8 (permalink)  
Old 26-01-06,
Moderator
 
Join Date: 05-10-04
Location: SULTANATE OF OMAN
Posts: 771
Default Ni Sawa Kabisa Kuwepo Ukumbi Huu

Assalam Alaeykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

Na Kwa Maoni Yangu Mimi Hivi Sasa Tunawaomba Wale Maulamaa Wa Kislamu Wote Duniani Uwepo Ummoja Wa Kimataifa Wa Uislamu Duniani Kote Ambao Utakuwa Unaokwenda Sambamba Na Mvumo Wa Quraan Tukufu Kufuata Yote Yale Ambayo Mwenyewe Allah Ametuamrisha Kupitia Katika Quraan Tukufu.

Na Huu Umoja Wa Kimataifa Uwepo Makka Mukkarama
.

Au Munasemaje Waislamu?
__________________


لا إلهَ إلاّ اللّهُ

?????? ????? ?????????? ???????????

HAYA NI MAELEZO YALIYO WAZI KWA WATU (WOTE) NA OWONGOZI NA MAUIDHA KWA WAMCHAO (MWENYEZI MUNGU).

Mkumbushe Kwa Qurani Anayeogopa Onyo Langu.

Jitihada Kwetu Tumshinde Iblisi

Dua Nakuombeeni. Furaha Kuwa Kivuli Chetu, Afya Njema Kuwa Mavazi Yetu, Amali Njema Kuwa Pambo Letu Pepo Kuwa Maskani Yetu Ya Milele Aamin

Na Sipati Kuwezeshwa Haya Ila Na Mwenyezi Mungu. Kwake Yeye Ninategemea, Na Kwake Yeye Naelekea
.

Last edited by WALAD MUHAMMAD; 30-01-06 at .
Reply With Quote
  #9 (permalink)  
Old 01-03-06,
abunooh's Avatar
Msimamizi wa Ukumbi wa Habari
 
Join Date: 21-07-04
Posts: 137
Default

ALLAAH awajaalie kila la kheri na awabaidishe na kila la shari Duniani na Aakhera.

Amma kuhusu huo ukumbi, mimi ninahisi kuwa ni jambo la busara sana kama alivyofafanua ndugu yetu kuweka maudhuu mbalimbali ni vizuri sana kuliko kuchanganyisha pamoja.

Amma tamanio la Al akh WALAD MUHAMMAD,mimi ninanyanyua mikono yangu juu kumuomba ALLAAH atujaalie waisilamu wa ulimwengu wote tuungane na tamanio hilo litekelee.

Wassalaam Khitaam,

Abu Nooh
Reply With Quote
  #10 (permalink)  
Old 01-03-06,
uislamu.net webmaster
 
Join Date: 17-07-04
Location: muscat
Posts: 821
Default

Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.

ASANTE SANA ndugu yangu Abunooh..Wewe ni mtu wa tato miongoni mwa member 407 tuliokuwa nao, sisi hatukuomba pesa wala dhahabu, ila tu ushauri.
Jazakallahu kila kheri,
na ombi litaangaliwa na uislamu.net
lakini bado haitoshi rai ya watu watano tu.
shukran sana
uislamu.net webmaster
__________________

uislamu.net webmaster
uislamu@hotmail.com
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)

 
Thread Tools

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On



All times are GMT +5. The time now is .


Powered by vBulletin Version 3.8.3
Copyright ©2000 - 2010, Jelsoft Enterprises Ltd - Upgraded by SurCity.net.