Assalam Aleykum Warahmatullah
Ndugu zangu wasomaji wa ukumbi huu wa uislamu.net napenda kuwatangazia kuwa tumerudisha back-up ya ukumbi huu ya tarehe 31 May 09, kwa hivyo wale members waliojisajili baada ya tarehe hii majina yao yatafutika automaticly, nawaomba watume email ya webmaster ili kuwasajili tena katika email hii:
uislamu@hotmail.com
Na kwa walioandika makala kabla ya tarehe hii, pia tunawaomba warudie kuyatuma tena. Sababu ya tatizo hili ni kwa mara ya pili maaduwi wanajaribu kuvunja na kuhack ukumbi huu, kwa sababu wanazozijuwa wenyewe. Tokea jana mara mbili kila nikirudisha back-up wanaharibu tena, kwa sababu ya kutumia old version ya ukumbi huu. Na inshallah tunafanya kwa hima ili kuapdate na kuepukana na tatizo hili.
La mwisho tunawaambia mahasidi kufeni na chuki zenu, na sisi tutaendelea kazi kama kawaida wala hatuchoki. Nakushukuruni sana kwa utulivu wenu na subira, Allah awabarikie.
Asanteni
webmaster