![]() |
|
|||
|
Asalaam alaykum,
Zipo dawa za Hospital watu wanazotumia lakini na hii pia inafanya kazi nzuri.Kitunguu thomu unatafuna chembe moja kila siku,utajisikia nafuu kabisa.Kama huwezi kutafuna fanya juisi ya ukwaju kwa kusagia kitunguu ndani yake na kunywa kila siku.Kama huwezi basi kata chembe ndogo ndogo umeze na maji. Ishara ya kuwa na cholestrol ni kuwa na maumivu ya kifua na nyengine ni uvutaji wa pumzi kuwa wa taabu hasa wakati wa kulala unakuwa unapata taabu sana. Na pia mchaichai (GREEN TEA ) fanya hii iwe ndio chai yako.Usitumie majani ya chai ya kawaida.Utaona faida zake.Hii green tea ni nzuri sana hata kama mtu hana cholestrol ni bora kutumia chai hii kuliko majani ya chai ya kawaida.Green tea haina matatizo yoyote kwa binadamu. Jaribuni dawa hizi inshaallah mtapata nafuu na afya njema,amin. Wabillahi at tawfiq, Akhuukum, Abu-Muslim |
|
|||
|
Shukran
Abu-Muslim---ALLAH Akupe Kheri za Daima Aaamin
__________________
لا إلهَ إلاّ اللّهُ ?????? ????? ?????????? ??????????? HAYA NI MAELEZO YALIYO WAZI KWA WATU (WOTE) NA OWONGOZI NA MAUIDHA KWA WAMCHAO (MWENYEZI MUNGU). Mkumbushe Kwa Qurani Anayeogopa Onyo Langu. Jitihada Kwetu Tumshinde Iblisi Dua Nakuombeeni. Furaha Kuwa Kivuli Chetu, Afya Njema Kuwa Mavazi Yetu, Amali Njema Kuwa Pambo Letu Pepo Kuwa Maskani Yetu Ya Milele Aamin Na Sipati Kuwezeshwa Haya Ila Na Mwenyezi Mungu. Kwake Yeye Ninategemea, Na Kwake Yeye Naelekea .
|
|
|||
|
Shukran kwako pia.
Na kheri na barka zitushikie jamiia.
__________________
Sema: Enyi watu! Haki imekwisha kukujieni kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Basi anaye ongoka anaongoka kwa faida ya nafsi yake, na anaye potea anapotea kwa khasara ya nafsi yake. Na mimi si mwakilishi juu yenu. - Suratil Yunus :108 Wabillahi at tawfiq, Akhuukum, Abu-Muslim. |
![]() |
| Bookmarks |
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests) |
|
| Thread Tools | |
|
|