![]() |
|
|||
|
Assalam aleikum warahmatullah wabarakaatuh,
Ndugu yetu anauliza kama ifuatavyo: Jee, meno ya implants yanafaa na si dhambi? Kwani mtu akifa anazikwa nayo hayo meno yanakuwa chuma kimezikwa kwenye fizi na ni meno bandia ambayo hayatoki tena yanakuwa kama ya kawaida. Na hii ni kwa ajili ya mtu aliekuwa hana meno kutokana na ajali au magonjwa mengine na doctor anashauri kumfanyia implants ambazo hazina sana usumbufu. |
![]() |
| Bookmarks |
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests) |
|
| Thread Tools | |
|
|