Picha Nyumba ya sanaa

 

Home » Picha Nyumba ya sanaa

Picha Nyumba ya sanaa

Burundi 2007

Msafara wa Samahat Sheikh Ahmed Al-Khalili (Mufti Mkuu wa Oman) katika nchi ya Burundi tarehe 14/2/2007 Baada ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na kumtakia rehma Bwana Mtume S.A.W hii ni takriri kamili ya msafa wa Mufti Mkuu wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamed Al-Khalili katika nchi ya (BURUNDI) Katika tarehe 14 Februari 2007 Alifika Samahat Sheikh Al-Khalili uwanja wa ndege Mjini Bujumbura mji mkuu wa Burundi, baada ya kupata mualiko kutoka kwa waomani wanaoishi huko. Alhamdulilah mapokezi yalikuwa mazuri na katika mapokeleo ya hali ya juu kwa kuwafikiana na uheshimiwa wa Mufti na wale waliofuatana nae.

Safari ya Samahat Sheikh Ahmed Al-Khalili Zanzibar

Samahat Sheikh Al Khalili alitembelea katika safari yake Chuo cha Kiislamu kinachosimamiwa na Jumuiya ya Istiqama zanzibar (Tunguu). Na safari hii ilikuwa baada ya kutoka Burundi. Hizi ni baadhi ya picha zilizochukuliwa na Jumuiya ya Istiqama Al Kharyia.

mayatima

mayatima

Jumuiya ya Istiqama

Jumuiya ya Istiqama

© 2011 Uislam Suffusion theme by Sayontan Sinha