|
ÈöÓúãö Çááøóåö ٱáÑøóÍúãóÜٰäö ٱáÑøóÍöíãö
Unapofikwa na jambo au kuliazimia ni vizuri
kutawadha kisha ukamuelekea Mola wako mtukufu kwa kusali rakaa mbili kwa nia
ya kumtaka ya kheri kwako katika jambo hilo na kupata taufiki yake katika
anayoyaridhia, na baada ya kutoa salamu unamuelekea Mola wako Allah mtukufu
kwa dua hii.
(Çóááøóåõãøó Åöäøöíú ÃóÓúÊóÎöíúÑõßó
ÈöÚöáúãößó æóÃóÓúÊóÞúÏöÑõßó ÈöÞõÏúÑóÊößó æóÃóÓúÃóáõßó ãöäú ÝóÖúáößó
ÇáúÚóÙöíúãö¡ ÝóÅöäøóßó ÊóÚúáóãõ æóáÇó ÃóÚúáóãõ¡ æóÊóÞúÏöÑõ æóáÇó ÃóÞúÏöÑõ¡
æóÃóäúÊó ÚóáÇøóãõ ÇáúÛõíõæúÈö.Çóááøóåõãøó Åöäú ßõäúÊó ÊóÚúáóãõ Ãóäøó åóÐóÇ
ÇúáÃóãúÑó ÎóíúÑñ áöíú Ýöíú Ïöíúäöíú æóãóÚóÇÔöíú æóÚóÇÞöÈóÉö ÃóãúÑöíú
ÝóíóÓøöÑúåõ áöíú æóÈóÇÑößú áöíú Ýöíúåö¡ æóÅöäú ßõäúÊó ÊóÚúáóãõ Ãóäøó åóÐóÇ
ÇúáÃóãúÑó ÔóÑøñ áöíú Ýöíú Ïöíúäöíú æóãóÚóÇÔöíú æóÚóÇÞöÈóÉö ÃóãúÑöíú
ÝóÇÕúÑöÝúåõ Úóäøöíú æóÇÕúÑöÝúäöíú Úóäúåõ æóÇÞúÏõÑú áöíó ÇáúÎóíúÑó ÍóíúËõ
ßóÇäó Ëõãøó ÈóÇÑößú áöíú Ýöíúåö æóÑóÖøöäöíú Èöåö)
((Allwahumma inniy as-takhiiruka biil-mika,
wa astaq-diruka biqud-ratika, wa as-aluka min fadh-lika l-adhiim, fainnaka
taalamu wala aalamu, wataq-diru wala aq-diru, wa anta allaamu l-ghuyuub.
Allwahumma in kunta taalamu anna hadha l-amra khayrun liy fii diiniy wa
maashiy wa aaqibati amriy fayassir-hu liy wabaarik liy fiihi, wain kunta
taalamu anna hadha l-amra sharrun liy fii diiniy wa maashiy wa aaqibati
amriy fas-rif-hu anniy was-rif-nniy an-hu waqaddir liya l-khaira haithu
kaana, thumma baarik liy fiihi wa radhdhiniy bihi))
TAFSIRI YA DUA
((Ewe Mola wangu hakika mimi ninakutaka ya
kheri kwa elimu yako, na ninakutaka uwezo kwa uwezo wako, na ninakuomba
katika fadhila zako kuu, kwa hakika wewe unajuwa wala mimi sijui, na wewe
unaweza wala mimi siwezi, na hakika wewe ni mwenye kujuwa yaliyofichika. Ewe
Mola wangu ikiwa unajuwa kuwa jambo hili ni kheri kwangu katika dini yangu
na maisha yangu na mwisho wangu basi lifanyie wepesi kwangu na ulibarikie
kwangu, na ikiwa unajuwa kuwa jambo hili ni shari kwangu katika dini yangu
na maisha yangu na mwisho wangu basi liepushe kwangu na uniepushe nalo na
unikadirie la kheri popote pale lilipo kisha unibarikie ndani yake na
uniridhie kwalo))
Wabillahi tawfiq
Ndugu
yenu:Hafidh. H. Seif Sawafiy.
|