ÔóåúÑõ ÑóãóÖóÇäó ÇáøóÐöíó ÃõäÒöáó Ýöíåö ÇáúÞõÑúÂäõ åõÏðì áøöáäøóÇÓö æóÈóíøöäóÇÊò ãøöäó ÇáúåõÏóì æóÇáúÝõÑúÞóÇäö Ýóãóä ÔóåöÏó ãöäßõãõ ÇáÔøóåúÑó ÝóáúíóÕõãúåõ æóãóä ßóÇäó ãóÑöíÖðÇ Ãóæú Úóáóì ÓóÝóÑò ÝóÚöÏøóÉñ ãøöäú ÃóíøóÇãò ÃõÎóÑó íõÑöíÏõ Çááøåõ Èößõãõ ÇáúíõÓúÑó æóáÇó íõÑöíÏõ Èößõãõ ÇáúÚõÓúÑó æóáöÊõßúãöáõæÇú ÇáúÚöÏøóÉó æóáöÊõßóÈøöÑõæÇú Çááøåó Úóáóì ãóÇ åóÏóÇßõãú æóáóÚóáøóßõãú ÊóÔúßõÑõæäó

    YALIYOMO

Kuipokea Ramadhan

Fadhila zake

Maana ya saumu

Aina za saumu

Adabu za saumu

Nasaha za saumu

Ewe Binaadam
 
A'Salaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuhu
Napenda kukuarifu ya kwamba niko njiani ninakuja na nitakuwa mgeni wako hapo
nyumbani kwa kipindi  cha mwezi mmoja, natumai umejiandaa vizuri sana
kunipokea kama mgeni wako mtukufu kabisa kuliko wageni wako wote wanaokuja
hapo nyumbani, ikiwa utabahatika kukutana na mimi na kuwa mgeni wako tena
mwaka huu huna budi kumshukuru Allah (SW) kwa kupata fursa nyengine tena ya
kukutana na mimi. 
 
Ninakushukuru sana kwa mapokezi yako ya kila mwaka na juhudi yako ya
kunitumia ili niweze kukufaa siku ya hesabu, nitafurahi zaidi ikiwa
umejiandaa vizuri zaidi na utanitumia kwa juhudi zako zote mwaka huu kuliko
mwaka jana, ninatambua kwamba mwaka huu sitokuwa nao baadhi ya wenzako ambao
niliwakuta mwaka jana leo hii wako mbele ya haki, fursa hii adhimu umeipata
natumai kwa juhudi zako zote japo kuwa zimebaki siku chache tu na lolote
linaweza likatokea katika kipindi hiki kifupi. 
 

 

 

UKUMBI WA UISLAMU.NET

 

Copyright © 2008  www.uislamu.net