|
|
VYANZO VYA MAPATO/VITEGA UCHUMI: |
Kwa kawaida, Jumuiya za kiislam tegemeo lake
kubwa la kuendesha miradi yake ni:
1. Takrima za wacha Mungu na wenye kutaka
radhi za Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala.
2. Sadaka.
3. Zakka
4. Baadhi ya miradi midogo ambayo michango
yake imekamilika, ambayo kutokana na michango hiyo watu wa
kipato kidogo wanafunzwa namna ya kuinua kiwango chao cha maisha.
5. Wafadhili kama nyinyi.
6. Kuweka wakfu maalumu ya kuendeshea mambo
ya kheri.
|